Saturday, June 28, 2014

AJALI YA BASI LA NBS YATOKEA KIMARA DAR


Muonekano wa mbele wa basi la NBS T719 AZC baada ya kugonga basi la Princes Muro T892 BUR lililokuwa likitokea Dar kwenda Mwanza eneo la Kimara.


Basi la Princes Muro T892 BUR likitokea Dar kwenda Mwanza limegongwa nyuma na basi la NBS T719 AZC likiwa safarini kuelekea Tabora eneo la Kimara leo.


Askari wa Usalama barabarani akiongea na abiria wa basi la NBS baada ya kutokea ajali.


Abiria wa basi la Princes Muro T892 BUR wakikagua basi lao.

CHANZO cha ajali ni uzembe wa dereva wa basi la Princes Muro aliyekuwa akiendesha basi lenye namba za usajili T892 BUR ambapo akiwa upande wa kulia wa barabara, ghafla alichepuka upande wa kushoto kwa lengo la kumshusha mfanyakazi mwenzake mahala ambapo si kituo cha kushusha abiria.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...