Sunday, May 25, 2014

HERMON INTERNATIONAL MINISTRY WAKISHIRIKIANA NA BRANEA SPIRITUAL FAMILY WAMEANDAA IBADA MAALUM YA KUPNADA MBEGU KWAAJILI YA WATOTO


HERMON INTERNATIONAL MINISTRY  WAKISHIRIKIANA NA  BRANEA SPIRITUAL FAMILY wamekuandalia ibada maalum ya kupanda Mbegu  kwaajili ya watoto itakayofanyika 30/05/2014 hadi 31/05/2014 na  ibada maalum ya kupanda mbegu kwa ajili ya watoto na maombi itakayofanyika katika ukumbi wa Prayer House Mkwajuni Kinondoni tarehe 01/06/2014 kuanzia saa 4:00 asubuhi.Watakahubiri ni Mch. DAUDI KAISI na Apostle PAUL KAISI

JINSI YA KUFIKA: Kama unataokea Kariakoo panda magari ya Mwananyamala  shuka Mkwajuni, kama unatokea  Mabaga panda magari ya Msasani  shuka kituo cha Mkwajuni . Mawasiliano yetu
Mch. Kiongozi 0713 160 964 0756 073 691Katibu: 0756 716842

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...