Monday, November 18, 2013

DIAMOND AFANYA MAKAMUZI KWENYE HARUSI YA PETER WA P-SQUAR



Diamond Platnumz akifanya makamuzi katika harusi ya kimila ya Peter Okoye. Kushoto ni Emmanuel Adebayor akimpigia makofi.
 
Mwanamuziki kutoka P-Square, Peter Okoye (kushoto) akipozi na mwanasoka wa Tottenham na timu ya Taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor wakati wa harusi ya kimila ya mwanamuziki huyo jana Nigeria.
 
Bwana harusi Peter Okoye akimvisha pete mkewe Lola Omotayo.
 
Harusi ya kimila ikiendelea.
 
Bibi harusi Lola Omotayo.
 
Peter katika pozi na wapambe wake.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...