Wednesday, October 30, 2013

MWILI WA BABA MZAZI WA WEMA SEPETU UNATARAJIWA KUZIKWA MCHANA HUU ZANZIBAR



Picha ya Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu enzi za uhai wake

Mh. Jaji Warioba akisaini kitabu cha Maombolezo leo mchana nyumbani kwa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe akisaini kitabu cha maombolezo leo October 29, 2013 nyumbani kwa marehemu Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu

Mama Gertrude Mongella akisaini kitabu cha maombolezo kwenye msiba wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu nyumbani kwake Sinza Mori leo October 29, 2013

Mh. Jaji Warioba na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernard Membe wakibadilishana mawazo kwenye msiba wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu leo October 29,2013



Baadhi ya viongozi waliofika msibani kwa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu.

Mtoto mkubwa wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu, Aman Isaac Sepetu akizungumza jambo na mwandishi wa habari, Mkwaia wa Kuhenga leo October 29, 2013 nyumbani kwa Marehemu

Mtoto wa marehemu akimsalimia mama baada ya kufika msibani hapo leo mchana

Mama akiwa na mwanae baada ya kufika msibani

Wema Sepetu (katikati) akiongea na Dada yake (wa kwanza Kushoto) na (kulia) ni mama yao.

Mmoja wa watoto wa marehemu Nuru Sepetu alishindwa kujizuia na kuanza kulia na kupelekea watu wengine kuanza kulia kwa majonzi
Mwili wa Marehemu Balozi Isaac Abraham Sepetu ukifikishwa nyumbani kwake

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...