Monday, August 5, 2013

"NINA JINSIA MBILI, NATAFUTA MPENZI WA JINSIA YOYOTE"...OMBI LA MDAU WETU


Dunia ina mengi....Dawa ya tatizo ni kukubaliana nalo.

Huyu ni jamaa mwenye jinsia mbili na kwa mujibu wa maelezo yake anadai kuwa jinsia zote mbili ziko poa (Active)..
Kinachofurahisha zaidi ni kwamba jamaa kakubaliana na tatizo...Haoni kama ni shida na anaisha maisha ya kawaida kabisa...

Cha kufurahisha zaidi ni kwamba, jamaa katangaza kusaka mchumba wa jinsia yoyote..

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...