
Dunia ina mengi....Dawa ya tatizo ni kukubaliana nalo.
Huyu ni jamaa mwenye jinsia mbili na kwa mujibu wa maelezo yake anadai kuwa jinsia zote mbili ziko poa (Active)..

Cha kufurahisha zaidi ni kwamba, jamaa katangaza kusaka mchumba wa jinsia yoyote..
No comments:
Post a Comment