Friday, July 12, 2013

WANAFUNZI WA TEOFELO KISANJI(TEKU) JIJINI MBEYA WAGOMA WAKISHINIKIZWA WALIPWE PESA ZAO ZA RESEARCH ZAIDI YA MIL.100 LEO..





Wanafunzi wa Chuo kikuu cha TEKU wakiwa wanajikisanya kusikia uongozi wa chuo uatoa Tamko gani, huku wakipiga kelele

Baadhi ya wanavyuo wakiwatimua wanafunzi wenzao walio nje na kuwambia kamahawawezi bora warejee makwao

Wakati Vice Chancellor wa TEKU akionge nyuma Dr. Tuli Kazimoto huku nyuma waandishi wa Habari walikuwa wakikatazwa wasichukue habari

Depute Vice Chancellor Academic affairs akiwa katika kikao kifupi na wanafunzi nje ya ofisi


Hili ndilo Tamko Lililo leta utata kwa wanachuo hao wanadai pesa zao za Research
Wanafunzi wa Chuo cha TEKU waakilikataa Tamko hilo

Baadhi ya Mabango waliyo kuwa wameyaandika




Vice Chancellor wa TEKU Dr. Tuli Kazimoto akiongea na wanachuo wa TEKU na kuwasihi wawe wapole wakati swala lao linafanyiwa kazi

Mwanafunzi huyo ambaye jina lake halikutambulika Mara Moja alichafua Hewa Baada ya Kuonekana anatetea Tamko la Utawala
Mmoja wa wanachuo wa TEKU akieleza kwa sababu gani wao wanataka pesa hizo



Vice Chancellor wa TEKU Dr. Tuli Kazimoto akitakla weka Tamko ambalo baadae lilichanwa na wanafunzi hao na kusema ni upuuzi kuwekewa agizo hilo, na kuendelea kudai pesa zao .







Muhasibu wa Chuo kikuu cha TEKU Jeremea Mwakanyerenge akitoa maelezo kuhusu pesa za wanachuo hao ambapo aliwakoroga kabisa na kuwafanya watake pesa zao leo leo





Sikilizeni sasa












Hatoki mtu hapa








MPAKA SASA HARI SI SHWARI ENDELEA KUFUATILIA

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...