Tuesday, July 23, 2013

ROSE NDAUKA AKANUSHA HABARI ZILIZO SAMBAA KUWA NI MJA MZITO


Mwanadada Rose ndauka amekanusha habari zilizoandikwa jana kwenye mitandao mbalimbali nchini kuwa huenda yu mjamzito kutokana na tukio la kuugua ghafla na kupandwa na kichefuchefu alipokuwa location akitengeneza Filamu yake mpya (kama nayoonekana pichani)
Akizungumza na mtandao huu, Rose Ndauka amesema kuwa habari hizo si za kweli na wala yeye hajaongea jambo kama hilo
"sio kweli na kilichoandikwa sijakiongea" hata sijui wamepata wapi hizo taarifa. Alinukuliwa akisema Rose ndauka

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...