Tuesday, July 2, 2013

PICHA ZA RAIS OBAMA ALIPOTUA KATIKA ARDHI YA TANZANIA





Rais Baraka Obama akicheza ngoma alipokua akipita kwenye moja ya vikundi vya ngoma za asili vilivyokua vikitumbuiza kwa ajli ya ujio wake mara tu aliposhuka kutoka kwenye ndege ya Airforce One

Mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete akitabasamu wakati mgeni wake Rais Barack Obama alipokua akitikisa mwili kwa hisia za ngoma za asili zilizokua zikitumbuizwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wakati wa ujio wake jana akitokea Afrika ya Kusini.
Rais Barack Obama akiangalia moja ya vikundi vya ngoma za asili vilivyokua vikitumbuiza uwanjani hapo.
 
 Rais Barack Obama akikagua majeshi ya ulinzi na usalama.
Rais wa Marekani Barack Obama pamoja mkwewe wakilakiwa na mwenyeji wao Rais Jakaya Kikwete mara tu walipowasili kwenye uwanja wa ndege wa kiamataifa wa Julius Nyerere jana Jumatatu July 1, 2013 kwa ziara ya siku 2., kushoto ni mama Salma Kikwete.

Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle Obama akipokewa kwa Shangwe Ikulu, Dar es salaam na baadaye akaongea na wanahabari..




No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...