Thursday, June 20, 2013

THE RETURN OF THE SUPER MAN A.K.A SUGU ANGALIA HAPA


Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi ambaye ndiye msanii wa bongo fleva anaeongoza kuwa na albam nyingi kuliko msanii yoyote hapa Tanzania
Kwasasa Mr II Sugu ana albam 10,ingawa alishawahi kutangaza
kuwa hato toa tena albam nyingine,ila ahadi hiyo imevunjwa kwani kwani alisema’Mashabiki wangu ndo wamefanya nivunje ahadi hii,maana wanataka bado kunisikia nikiendelea kuwapa burudani.Hivyo kwa heshma yao ntaachia tena albam,albam hiyo itaitwa ONE FOR THE ROAD.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...