Monday, June 24, 2013

HIVI NDIYO UMATI WA WATU ULIVYOJITOKEZA KATIKA MAZISHI YA MAMA WA WANAMZIKI BARNABA





Barnaba akiagana na Mama ake kwa mara ya mwisho.....!!





Madee akiwa na Lady Naa......!!



Joh Makini baada ya Kuaga Mwili.....!!

Baadhi ya wanakikundi wanaounda Tanzania House of Talent (T.H.T)








Hapa mwili ukiwa umewasili makaburini tayari kabisa kwa maziko...!





Barnaba akitupa mchanga wa mwisho kwenye kaburi la marehemu mama yake



Mume wa Bi Mariamu Arubeth akiweka mchanga kaburini...!!

Jeneza likiwa ndani ya kaburi tayari kwa kuanza kufukia na mchanga.....!

Hyper Man HK alikuwepo pembeni na mwanamuziki Shilole...!!

Producer Lamar wa Fishacrab Studio alikuwepo pia...!

Hali ile ya uchungu na kulia sana ilipelekea Barnaba kukosa
nguvu na kuzimia kwa dakika kadhaa...





Baada ya kuzinduka akisaidiwa kuingia kwenye gari kuwaishwa
Hospital kutokana na kupoteza nguvu kabisa...!!










Mume wa Marehemu akisimika msalaba kaburini

Msemaji wa familia akisoma historia fupi ya
marehemu Mariamu Arubeth...!!




Msemai wa Familia akitoa maelekezo kwa waombolezaji mara
baada ya kumaliza shuguli a maziko...!!

Umati wa waombolezaji wakitawanyika makaburini baada
ya shuguli ya mazishi kukamilika...!!

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...