Friday, June 21, 2013

JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA LINAWASHIKILIA WATU WAWILI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA MBUNGE MOSES MACHALI





Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba jeshi la polisi mkoani dodoma linawashikiria watu wawili kwa tuhuma za kumpiga mbunge Moses Machalli.Machalli amelazwa katika hospitali ya mkoa dodoma General na anaendelea vizuri.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...