Tuesday, June 25, 2013

BAADA YA KURUSHIWA CHUPA AKIWA STEJINI OMMY DIMPOZ AOMBA MSAMAHA KWA MARA YA PILI.


Ommy Dimpoz kwa mara nyingine ameamua kupaaza sauti yake na kuwaomba watanzania wamsamehe kwa kauli zake mbaya kuhusu marehemu Ngwea....

Sambamba na msamaha huo,Ommy anadai kuwa amejifunza kutokana na kosa lake na kwamba hatarudia tena...

Uamuzi wa kuomba msamaha kwa mara ya pili umekuja baada ya msanii huyu kupigwa mawe mjini Dodoma hivi juzi


Hii ni kauli yake kupitia ukurasa wake wa facebook:

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...