Wednesday, March 27, 2013

MEYA WA ILALA MH.JERRY SILAA AZINDUA ZIARA YA KUTEMBELEA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA NDANI YA MANISPAA YAKE



Mmoja wa washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 , kutoka Kanda Maalum ya Zanzibar akitoa Shukurani kwa niaba ya Warembo wenzake.

Washiriki wa Miss Utalii Tanzania Taifa 2012/13 wakiwa katika Picha ya pamoja na Muheshimiwa Meya wa Manispaa Jerry Silaa

Washiriki wa Miss Utalii Taifa 2012/13 wakiwa na Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Ilala Bi. Shani wa kwanza kushoto, ambaye ndiye alikuwa anatoa maelezo yote ya kina kuhusiana na eneo hilo Muhimu kwa Taifa la Tanzania

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...