Monday, February 25, 2013

BREAKING NEWS ..SERIKALI YABATILISHA UCHAGUZI WA TFF


Serikali kwa kupitia waziri wa habari ,vijana ,michezo na utamaduni Dk.Fennela Mukangara imeingilia kati na kubadilisha mchakato wote wa uchaguzi wa TFF kwa madai ya kuwa katiba iliyotumika si halali na kutaka uchaguzi huo ufanyike upya kwa kupitia katiba mwaka 2006 na kwamba kwa kutumia ibara ya 10 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumuondoa msajili wa vyama na vilabu michezo.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...