Tuesday, February 19, 2013

KANISA LANUSURIKA KUCHOMWA MOTO HUKO ZANZIBAR LEO ASUBUHI

Taarifa za kuaminika zilizorushwa na Radio Wapo katika kipindi chake cha patapata leo asubuhi, ni kwamba watu wasiojulikana wamelivamia kanisa moja huko Zanzibar na kulirushia kitu kama bomu kilicholipuka moto japo majirani waliamka na kuuzima moto huo kabla kuleta madhara makubwa.

Tukio hilo limejitokeza leo Alfajiri.Hakuna chombo cha dola kilichofika eneo hilo hadi mida hii....

Tukio hilo liliambatana na vipeperushi vinavyodai kuwa na Bado...!!!

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...