
Mwanamuziki Kofii Olomide akiimba jukwaani na kundi lake katika Onesho linalofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es salaam ambapo wageni waalikwa na mashabiki mbalimbali walifurika katika viwanja hivvyo , ili waweze kushuhudia shughuli pevu ya mwanamuziki huyo nguli wa muziki Barani Afrika.

Mmoja wa wanenguaji wa mwanamuziki Kofii Olomide akifanya vitu vyake jukwaani kama anavyoonekana katika picha.







Hapa ni Burudani ya mauno tu kama inavyoonekana madau.



No comments:
Post a Comment