
Onesho la bendi ya FM Academia kutimiza miaka 15 tangu kuanzishwa kwake hapa nchini linadhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Tigo





Baadhi ya mashabiki wa bendi hiyo hawakuwa nyuma kulisakata Sebene la FM Academia kama wanavyoonekana.
Vijana wa FM Academia wakifanya vitu vyao jukwaani usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es salaam,
Vijana wa FM Academia wakifanya vitu vyao jukwaani usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es salaam.


No comments:
Post a Comment