Saturday, November 24, 2012

Mwanamke anayetuhumiwa kumtesa kumlisha kinyesi na kumchoma moto mtoto wa kaka yake kumfungia ndani, amepandishwa kizimbani kwa mara ya pili katika mahakama ya Wilaya ya Mbeya kujibu shtaka linalomkabili.



Mtuhumiwa Wilvina Mkandala (24)


Hataki kabisa kuonyesha sura yake

Aneth akiwa na wazazi wake mahakamani jana

Akirudishwa tena rumande mpaka tena tarehe 27/11



Baadhi ya akina mama wakiwa nje ya mahamaka wakisubiria kumwona mama huyo mwenye roho mbaya

Akina mama hao wakiwa na hasira kali walisikika wakisema tuachieni kidogo tumfunze adabu

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...