Wednesday, November 28, 2012

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SAFARI YA MWISHO YA SHARO MILIONEA, VILIO NA MAJONZI VYATAWALA WAOMBOLEZAJI WASHINDWA KUJIZUIA .


Mwili wa marehemu Sharo Millionea ndio umelala humu, nivigumu kuamini
 
Mama mzani wa Marehemu Sharo Millionea Akilia Kwa Uchungu
Rafiki mkubwa wa marehemu Sharo Milionea,Mzee Majuto akiwa ameshikwa mkono wakielekea kwenye mazishi mapema mchana wa leo,Muheza mkoani Tanga.



Mwili wa Marehemu Sharo Milionea ukiswaliwa mapema mchana wa leo kabla ya kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele

Nape akizungumza na wananchi waliohudhuria msibani
 

sehemu ya umati wa waombolezaji katika msiba wa Sharo milionea
 
Mwili wa marehemu Sharo Millionea ukiwa umebebwa

Meneja wa Sharo anayejulikana kwa jina la HK akizungumza
Waombolezaji waliopoteza fahamu wakipatiwa huduma ya kwanza msibani hapo.

Miss Kinondoni namba 2, 2011, Husna Maulid akilia kwa uchungu wakati wa mazishi ya Sharo Milionea leo.

 



 


No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...