Monday, September 3, 2012

TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2012 LAITIKISA SHINYANGA, WAKAZI WAKE WAKIRI WAZI HAKUNAGA KAMA FIESTA

Msanii chipukizi wa muziki wa Hip Hop kutoka Serengeti Super Nyota, Young Killer, akiwajibika jukwaani, katika tamasha la Serengeti Fiesta, 2012, katika Uwanja wa Mwalimu Nyerere juzi, mjini Shinyanga.


Mashabiki wakifuatilia kwa ukaribu tamasha la Serengeti Fiesta, Shinyanga usiku wa kuamkia leo kwenye uwanja wa Kambarage.

Mwimbaji Winfirda Josephat Recho akiwajibika jukwaani usiku wa kuamkia leo, katika tamasha la Serengeti Fiesta, mkoani Shinyanga, katika Uwanja wa Kambarage.

Mwimbaji wa muziki wa mduara, IT akionyesha manjonjo yake katika tamasha la Serengeti Fiesta, lililofanyika mkoani Shinyanga usiku wa kuamkia leo.

Mashabiki wakifurahia burudani kutoka katika tamasha la Serengeti Fiesta, mkoani Shinyanga.

Profesa Jay akifanya vitu vyake katika uwanja wa Kambarage, mkoani Shinyanga, katika tamasha la Serengeti Fiesta 2012.

Msanii Ommy Dimpozi, akicheza na shabiki wake.

Msanii Ney wa Mitego akikamua katika tamasha la Serengeti Fiesta.

Msanii Barnabas akijibu mapigo kwa shabiki wake, kwenye tamasha la Serengeti Fiesta, lililofanyika usiku wa kuamkia leo, mkoani Shinyanga.

Mh Temba akiwapa mikono mashabiki wake katika tamasha la Serengeti Fiesta.

Mtangazaji wa Clouds TV, Antonio Nugaz, akitangaza washindi wawili wa pikipiki zinazotolewa na kamuni ya Push Mobile.

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Roma akifanya vitu vyake uwanjani hapo, katika tamasha la Serengeti Fiesta.

Waimbaji wa kundi la Wanaume Family, Mh Temba, Chege na Bibi Cheka wakifanya vitu vyao katika tamasha la Serengeti Fiesta.

Msanii Ommy Dimpozi akiimba mbele ya mashabiki wake.

Mashabiki wakifurahia burudani za Serengeti Fiesta mkoaani Shinyanga.

Mashabki wakipata burudani za Serengetu Fiesta mkoani Shinyanga usiku wa kuamkia leo kwenye uwanja wa kambarage.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...