Tuesday, September 4, 2012

HIVI NDIYO ILIYOKUWA KATIKA SAFARI YA MWISHO YA MPIGANAJI MWANDISHI WA CHANEL TEN DAUDI MWANGOSI, TUKUYU MBEYA



Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa una andaliwa kwa ajili ya kutolewa Heshima                                                               za mwisho

                      Muheshimiwa Mark Mwandosya akitoa Heshima za Mwisho

                              Muheshimiwa Dr Slaa akitoa Heshima za mwisho



                            Ndugu jamaa na Marafiki wakitoa Heshima za Mwisho

                               Mke wa Marehemu akitoa heshia zake za Mwisho

                           Ma elfu ya watu wakipita kutoa Heshima zao za mwisho

               Mama Mzazi wa Marehemu Daudi Mwangosi akiwa analia kwa Uchungu



                                   Dr Slaa akiwa pamoja na Mh. Mark Mwandosya


Waandishi wa Habari wakiwa wamebeba Mwili wa Marehemu kuelekea Makabirini

Wakiwa wanafanya ibada ya Mwisho kabla ya kuanza maziko

Hapa wakiwa wanashusha mwili wa marehemu katika Nyumba yake ya milele

Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa Tayari katika Kaburi

Shughuri za kuzika zimeanza

Mazishi yanaendelea

Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi akiweka Shada la Mauwa kwa machungu

Mke wa Daudi Mwangosi akiwa analia kwa uchungu katika Kaburi la Marehemu Mumewe

Watoto wa Marehemu wakiwawanaweka mashada ya maua sasa

Ni ngumu sana Kuamini kwa mke wa Marehemu lakini hali ndivyo ilivyo kuwa akiwa na huzuni kubwa

Dr Slaa akiweka Shada la Mauwa

Dr Slaa Baada ya kumaliza kutoa heshima za mwisho

Mh. Mark Mwandosya akiweka Taji la maua pamoja na mke wake

Rais wa UTPC akiweka shada la Maua
Ndugu wa Marehemu akiweka shada la Maua


Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akiweka shada la maua

Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu, Ndugu Joseph Mwaisango akiwa anatoa heshima zake za Mwisho katiaka Kaburi

Wananchi wakiwa wanarejea baada ya mazishi

Waandishi wa Habari wakichukua Tukio Live `

Na huu Ndio Mwisho wa tukio zima la Mazishi ya Ndugu yetu, Mwanaharakati, Mpiganaji Daudi Mwangosi aliyekuwa Mwandishi wa Chanel 10.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...