Wednesday, September 19, 2012

HILI NDILO BASI JIPYA LA YANGA.


Hatimaye, yale mabasi waliyoahidiwa Simba na Yanga kutoka kwa mdhamini wao yapo karibu kukabidhiwa, kwa sasa yakiwa kwenye hatua za kupambwa rangi za klabu hizo, Hili ni basi la Yanga ambalo bado kubandikwa nembo tu ya klabu na jina. Basi la Simba pia litakuwa hivi, tofauti rangi. Hongera TBL, Simba na Yanga wanatakiwa kuyatunza vema magari haya, kuhakikisha wanayafanyia service mara kwa mara, yanakuwa katika hali nzuri kila wakati.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...