Friday, August 24, 2012

HASHEEM THABEET NA NYOTA WENZAKE WA NBA WATOA MAFUNZO YA KIKAPU DAR




NYOTA wa mpira wa kikapu kutoka Marekani, Hasheem Thabeet Mtanzania anayehezea Oklahoma City, Luol Deng Muingereza mwenye asili ya Sudan Kusini, anayechezea Chicago Bulls leo wameendesha programu ya kliniki kusaka vipaji vya mpira wa kikapu kwa wanafunzi wa shule za sekondari za Dar es Salaam kwenye viwanja vyta Don Bosco, Upanga.


Kliniki hiyo ilihudhuria na nyota wengine wa NBA, akiwemo Adam Andre, Masai Ujiri, mmiliiki na Meneja wa timu ya Denver Nuggets, Amadaou Gall Fall na Kocha J.


Alikuwepo pia Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo Tanzania, Juliana Yassoda, Balozi Mdogo wa Marekani, Robert K Scott, Rais wa Chama cha Mpira wa Kikapu (TBF), Mussa Mziya na Makamu wake, Phares Magesa.

Zoezi lilianza saa nne asubuhi kwa hotuba ndefu, zilizowafanya watoto waungue juwa muda wa zaidi ya saa mbili, kabla ya kuanza kupewa mafunzo hayo. Pichani ni watoto waliohudhuria wakiteseka na jua kwa kusikiliaza hotuba ndefu.


Watoto juani
Magessa akizungumza na Scott
Mdau wa michezo,l Athumani Tippo 'Zizziu' kushoto akiwa ma Michael Maluwe wa TBF
Mziya kulia akizungumza na Mama Yassoda. Kushoto ni Magessa
Ona watoto walivyoteseka na jua
Watoto juani
Watoto juani


Meneja Bidhaa wa Coca Cola, akitoa hotuba 'fupi'
Kocha Everist Mapunda akiwa na wachezaji wa Vijana, Anthony Leikanga, Gidibo Tindwa, Sada Ilyas
Mtoto Felix Tippo kulia akisikiliza hotuba
Mama Yassoda akienda kurusha mpira kuzindua kliniki hiyo
Balozi Scott akitoa maelekezo kwa watoto
Amadou Fall akimsaidia mtoto kurusha mpira kwenye kikapu


Kutoka kulia Hasheem, Masai na Luol
Kutoka kulia Balozi Scott, Masai na Magesa
Kutoka kulia Luol, Hasheem, Scott, masai na Magessa
Magessa katikati akiwa na Luol kulia na Hasheem kushoto
Kliniki
Masai kushoto na Amadaou
Kliniki


Hasheem akizungumza na mdau
Kliniki

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...