Tuesday, July 31, 2012

MENEJA WA KINYWAJI CHA GRAND MALT WAKIKABIDHI RAMBIRAMBI KWA MAKAMU WA RAIS WA ZANZIBAR



Meneja masoko wa Kinywaji cha Grandmalt Fimbo Buttalah Kulia akimkabidhi makamu wa pili wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Balozi Seif Ally Iddy Hundi ya Shilingi milioni tano kama sehemu ya Rambirambi zilizotolewa kwa pamoja kati ya Grandmalt ambao ni wadhamini wa Ligi kuu ya Zanzibar na Chama cha Soko Zanzibar ZFA. Kushoto ni Makau wa rais wa Zfa Kassum Suleman

Meneja masoko wa Kinywaji cha Grandmalt Fimbo Buttalah Kulia akimkabidhi makamu wa pili wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Balozi Seif Ally Iddy Fedha Shilingi milioni tano kama sehemu ya Rambirambi zilizotolewa kwa pamoja kati ya Grandmalt ambao ni wadhamini wa Ligi kuu ya Zanzibar na Chama cha Soko Zanzibar ZFA. Kushoto ni Makau wa rais wa Zfa Kassum Suleman



makamu wa pili wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Balozi Seif Ally Iddy akizungumza katika hafla fupi ofisini kwake wakatiti akipokea fedha taslimu shilingi milioni tano toka Grandmalt na ZFA Kwaajili ya kuwafariji wale wote waliopatwa na maafa ya ajali ya meli hivi karibuni

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...