Thursday, June 28, 2012

HIZI HAPA PICHA ZA TWIGA WA TANZANIA ALIYETOKA KWENYE MTANDAO WA UK “DAILY MAIL” AKIOGELEA KTK SWIMMING POOL YA CLUB KILIMANJARO.

Akiwa ni Twiga pekee katika eneo la Kilimanjaro Golf and Wildlife Estate, Tanzania. Alipewa jina la Monduli miaka mitatu iliopita alipowasili katika club hiyo na sasa ana miaka mitatu na nusu.

Mkurugenzi wa estate hiyo, Zummi Cardoso amesema Monduli ana urefu wa ft 13(4m) na anatarajiwa kufikia ft 18 atakapofikisha miaka sita.

Monduli aliingia katika bwawa la kuogelea na kuweka kichwa juu, kitu kisichoshangaza sana kutokana na urefu wa twiga.




No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...