MASANJA MKANDAMIZAJI AANZISHA MAHUBIRI YA UWANJANI
Masanja akiongoza mamia ya watu katika kuwalisha neno la bwana jana katika viwanja vya T.A.G Mbagala jijini Dar es Salaam.
Masanja akiongoza mamia ya watu katika kuwalisha neno la bwana jana katika viwanja vya T.A.G Mbagala jijini Dar es Salaam.
MSANII wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel
Mgaya ‘Masanja Makandamizaji’, jana jioni alinaswa na kamera yetu
akihubiri Neno la Mungu katika viwanja vya kanisa la Tanzania Assemblies
of God (TAG) Mbagala jijini Dar es Salaam.
Masanja akiwajibika jukwaani hapo.
Sehemu ya umati uliyokusanyika viwanjani hapo.
Masanja akiwajibika jukwaani hapo.
Sehemu ya umati uliyokusanyika viwanjani hapo.
No comments:
Post a Comment