TOT TAARAB & MASHAUZI CLASIC BAND WAZINDUA USIKU WA TAARAB DAR LIVE
Malkia wa mipasho Bongo, Khadija Omar Kopa, akitumbuiza kwenye uzinduzi huo.
BENDI za muziki wa mwambao Bongo, Tanzania One Theater Taarab ‘TOT TAARAB’ na Mashauzi Clasic Band, usiku wa kuamkia leo kwapamoja zimezindua tamasha la usiku wa Taarabu ndani ya ukumbi wa Dar Live Mbagala Zakheem jijini Dar es Salaam, ambalo litakuwa likifanyika ukumbini hapo kila siku ya jumatano.
Baadhi ya waimbaji wa TOT Taarab wakiwa katika viti tayari kwa kutimiza jukum lao.
Kiongozi wa Mashauzi Clasic Band Isha Ramadhani, akitumbuiza kwenye uzinduzi huo.
Baadhi ya mashabiki waliohudhulia katika uzinduzi huo wakiselebuka kwa raha zao.
No comments:
Post a Comment