Wednesday, February 29, 2012

HAPPY BIRTHDAY SSEBO & LADYNAA!!!



Ssebo akiwa kwenye pozi na marafiki zake
MTANGAZAJI wa Magic FM, Denis Busulwa ‘Ssebo’, usiku wa kuamkia leo alisherehekea siku ya kuzaliwa kwake na mrembo mmoja aliyefahamika kwa jina la Nasra a.k.a Lady Naa ndani ya ukumbi wa New Maisha Club Masaki jijini Dar es Salaam.





Baadhi ya wafanyakazi wenzake na Ladynaa wa pili kutoka kulia.




Sintah akisimamia zoezi la shughuli hiyo kama MC.




Ssebo, Ladynaa na rafiki yao katika pozi.




Sintah, Ladynaa & rafiki yao





Ssebo & Ladnaa katika pozi









Ssebo (kulia), akikata keki na Lady Naa.

Ssebo akimlisha keki mmoja wa marafiki zake.

Keki ya birthday.

Lady Naa, akishangiliazoezi la kufungua shampeni.

Warembo waliokuwa katika hafla hiyo.

Mcheza sinema, Jacqueline Wolper, akiwa na Lady Naa.

Lady Naa akimlisha keki rafiki yake.



No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...