Robert alipata ajali hiyo maeneo ya External-Ubungo jijini Dar baada ya Lori kumbana na gari aina ya Toyota Noah alilokuwa akiendesha Robert kuingia kwenye mtaro na kufariki papohapo.
Kwenye gari alilokuwa akiendesha Robert, alikuwa amewapakiza abiria wawili ambao wamepata majeraha na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Mungu ailaze roho ya marehemu Robert mahali pema peponi-Amina.
No comments:
Post a Comment