Msanii wa Bongo Fleva Ben Pol akikinukisha mbele ya mashabiki waliojitokeza kwenye Tamasha la Bata Day katika Ufukwe wa Azura.
Mmoja wa mashabiki akimnong’oneza jambo Ben Pol wakati shoo hiyo ikiendelea.
Linex akionyesha ubora wake katika jukwaa ambapo alikuwa akitumbuiza kwa kupigiwa vyombo laivu.
Linex akiimba na mashabiki wake.
Mtangazaji wa Radio Clouds FM, Adam Mchovu akiserebuka na mrembo jukwaani hapo.
Baadhi ya mashabiki wakicheza kwa pamoja baada ya kunogewa na burudani zilizokuwa zikiendelea ndani ya fukwe hizo.
Baadhi ya mashabiki waliojitokeza katika shoo hiyo wakifuatilia burudani hizo kwa makini.
WASANII wa Bongo fleva wanaoimba kwa kucharaza
magitaa laivu, Bernald Paul ‘Ben Pol’ na Sunday Mangu ‘Linex’
wamefanya shoo kali usiku wa leo, ndani ya Fukwe za Azura, Kawe jijini
Dar.Linex akionyesha ubora wake katika jukwaa ambapo alikuwa akitumbuiza kwa kupigiwa vyombo laivu.
Linex akiimba na mashabiki wake.
Mtangazaji wa Radio Clouds FM, Adam Mchovu akiserebuka na mrembo jukwaani hapo.
Baadhi ya mashabiki wakicheza kwa pamoja baada ya kunogewa na burudani zilizokuwa zikiendelea ndani ya fukwe hizo.
Baadhi ya mashabiki waliojitokeza katika shoo hiyo wakifuatilia burudani hizo kwa makini.
(Habari/Picha: Musa Mateja/GPL)
No comments:
Post a Comment