Mwanamitindo kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto (kushoto) akiwa na mimba kabla ya kujifungua kulia ni mtoto wake wa kike.
Hamisa Mobeto akiwa katika pozi.
MWANAMITINDO kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto
amejifungua mtoto wa kike hivi karibuni na kuwashangaza wengi kwani
mimba hiyo ilikuwa na usiri mkubwa tofauti na wafanyavyo mastaa
wengine.Mtandao huu tunampa hongera sana.
No comments:
Post a Comment