Tuesday, January 15, 2013

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA SIKU 3 WA AFYA YA MAMA NA MTOTO,JIJINI ARUSHA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa ufunguzi Mkutano wa Kimataifa wa siku tatu wa kuboresha Afya ya Mama na Mtoto, ulioanza leo Januari 15, 2013, jijini Arusha.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya na wa Mkoa wa Arusha, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Arusha kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Kimataifa wa siku tatu wa kuboresha Afya ya Mama na Mtoto, ulioanza leo, jijini Arusha.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na viongozi wa Mkoa wa Arusha wakati akiwasili kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa AICC, Jijini Arusha kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Kimataifa wa siku tatu wa kuboresha Afya ya Mama na Mtoto, ulioanza leo, jijini Arusha.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Waziri wa Afya wa Rwanda, Agnes Binagwaho, baada ya kufungua Mkutano wa Kimataifa wa siku tatu wa kuboresha Afya ya Mama na Mtoto, ulioanza leo, jijini Arusha.

Baadhi ya washiriki wa mkutano huo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa na waratibu wa mkutano huo.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifurahia burudani ya ngoma ya asili wakati akiondoka katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa AICC baada ya kufungua Mkutano wa Kimataifa wa siku tatu wa kuboresha Afya ya Mama na Mtoto, ulioanza leo, jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...