Wednesday, January 9, 2013

‘BETHIDEI’ YA BENY KINYAIYA YAFANA KWENYE BAA YAKE KINONDONI



Beny Kinyaiya (kulia) akiwa ameshikilia keki ya sherehe yake kabla ya kuikata na kuwalisha wageni wake.

Marafiki zake wakimmwagia pombe na maji.
…Akiendelea kumwagiwa maji.
 
Mvua ya maji na pombe ikiendelea kumuangukia.
‘Mzaliwa leo’ akiomba asiendelee kumwagiwa maji.
 
Beny akikata vipande vya keki kuwalisha waalikwa.
 
Huyo ni rafiki yake.
…Akimlisha Lady Naa keki.
 
…Akila keki kwa staili yake.
 
Huyo ni kaka yake Beny.
 
Castor Dickson akionjeshwa keki.
 
Babu wa Kitaa alikuwepo.
 
Nisha naye alishiriki.
 
Steve Nyerere akionja ladha ya keki hiyo.
 
 Babu wa Kitaa akipata chakula na marafiki zake.
 
Steve Nyerere, Nisha na marafiki zao wakiwa katika pozi.
 
 Baadhi ya waalikwa wakipata ‘mbili-tatu’.



No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...