Saturday, July 14, 2012

TIGO ILIVYOWAKUTANISHA WANAMITANDAO YA KIJAMII BLOGGERS

Wanamitandao wakiwa kazini kutoka kulia walioshika Camera ni Josephat Lukaza wa Lukaza blog, Zainul Nzige wa Mo Blog na Rajabu Mhamila Super D wa Burudanblog wakiwajibika.

Baadhi ya Wamiliki wa Mitandao mbali mbali nchini wakiwa kwenye picha ya Pamoja wakati wa Tafrija Fupi iliyoandaliwa na Kampuni ya simu za Mkononi Tigo ambapo ilikuwa na lengo la kufahamiana na kujenga mahusiano, Hafla hiyo imefanyika kwenye hoteli ya Kebbys Mwenge jijini Dar es salaam usiku huu.

Wakwanza kulia ni Seif Kabelele mmiliki wa Mtandao wa Kabelele Blog, Miss Popural wa Popuralblog na Othman Michuzi wa Mtaa kwa Mtaa na Michuziblog wakishoo Love.

Kulia ni PR Agencies wa Tigo kutoka Trinity na kushoto ni wadau wa Mitandao(Bloggers) wakipozi kwa picha


Baazi ya ma blogel wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa tafrija hiyo leo

Katikati ni Philemon Solomon mpiga picha wa Fullshangweblog kulia ni Zainul Mzige wa Mo Blog akifurahia katika tafrija hiyo na mdau wa Radio one
Mtalamu wa Mawasiliano ya Digtal Wa Kampuni ya Tigo Bi,Samiraa Baamar akifafanua jambo kwenye Tafrija hiyo ambapo alielezea urahisi wa kupata vifurushi vya Tigo vya kuweza kuperuzi huduma mbalimbali za kijamii katika mtandao

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...