Thursday, January 12, 2012

TWANGA PEPETA BADO KUMEKUCHA BILICANAS

Wanenguaji wa Bendi hiyo, Abilah Zungu (kushoto), akinengua kwa staili yake ukumbini hapo na wanenguaji wenzake. 
Baadhi ya wanenguaji wa bendi hiyo wakiwa wameweka pozi kama moja ya staili yao.
Mnenguaji wa Bendi hiyo, Vicky (kulia mbele), akiongoza safu hiyo.
...Mambo yalikuwa bambam.
Hapa kama wanaongea kumbe wanaingiza siku.
BENDI ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’, usiku wa kuamkia leo imeendelea kufanya makamuzi yake ndani ya ukumbi wa Bilicans jijini Dar es Salaam kama kawaida.
Bendi hiyo ilionyesha uwezo wa hali ya juu kwa waimbaji wake na wanenguaji bila hata ya  kujali pengo la mwanamuziki Charles Gabriel ‘Chalz Baba’ aliyejiengua.


No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...