KONGAMANO LA VIJANA KANISA LA K.K.K.T
GLORIOUS CELEBRATION WALIWASHA MOTO KWA UIMBAJI
GLORIOUS CELEBRATION WALIWASHA MOTO KWA UIMBAJI
Kongamano hili lilifanyika kibaha katika Shule ya Sekondari Filbert Bay mwezi December 2011. Kongamano hili lilipambwa na Kikundi cha waimbaji wa nyimbo za injili nchini Tanzania, Glorious Celebration. Watu walibarikiwa sana na uimbaji, masomo mbalimbali na michezo.
Kongamano hili lilifanyika kwa muda wa wiki moja, na vijana walikuwa wakiishi kambini kwa muda wote.
Glorious Celebration walionekana kupendwa sana na vijana wa KKKT na wachungaji wao. Mungu alionekana mahali pale
Kutoka kulia na Davina, Nice, Chaka, Lisper, Mercy
Mwimbaji wa Glorious Celebration, Dany Kibambe akimwimbia Mungu wetu
Waimbaji wa Glorious Celebration
Vijana kutoka makanisa ya KKKT Tanzania
Mkurugenzi wa RUMA, Rulea Sanaga na ni Meneja Masoko wa Glorious Celebration (aliyevaa penzi) akiwa mapumzikoni
Wapigaji magitaa wa Glorious Celebration, Imma Solo (kulia) na Imma Base (kushoto)
Baadhi ya waimbaji wa Glorious Celebration wakiwa katika mapumziko
Mwimbaji, mpiga kinanda na mpigaji wa drums, Danny Kibambee akiwa katika uwajibikaji
Imma Base kushoto na Ombeni Godwin OG kulia
Mwnyekiti wa Vijana KKKT
Mr Tweve akipiga picha waimbaji
No comments:
Post a Comment