Friday, January 13, 2012

Mwanamuziki mpya wa Bendi ya Mashujaa,Charles Gabriel a.k.a Chaz Baba akiwasilli kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jana jioni akitokea nchini Dubai alikokuwa amekwenda kwa mapumziko mafupi baada ya kuikacha Bendi yake ya awali ya African Stars (Twanga Pepeta).

Charles Baba akiwa ameshikilia maua mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere jioni ya leo tayari kwa kujiunga na bendi yake mpya ya Mashujaa.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...